NEW GENERATION CLASSIC WEAR
BE UPDATE...SHINE ALL DAY
Saturday, November 12, 2011
STUDIO MPYA IMEFUNGULIWA .... GB RECORDS AMBAYO INA MATAWI MAWILI YOMBO NA MBAGALA.
Na huyu ndiye prodyuza wa GB record na c.e.o. studio inadili na mambo yote ya burudani.studio ipo na kiwango cha juu..tunarecod bongo flava,gospel and video production.gharama zetu ni za chini sana.ijawa tokea.tunakupa kazi ukasikilize sikutatu kabla ujapata masterakuna mgongano wa ratiba unapata kazi on time..contact zetu0713647343,0767647343,078264733
Labels:
new generation inc..
Thursday, November 10, 2011
MAZOEZI NI PART YA MAISHA YA MWANADAMU JE UNAFANYA MAZOEZI.....
Labels:
new generation inc..
Sunday, November 6, 2011
Mrembo wa Kitanzania ndani ya Uingereza
SALHA ISRAELI NA KATI YA LONDON

Vodacom Miss Tanzania 2011,Salha Israel (wa tano kutoka kushoto) akiwa na warembo wenzake wanaoshiriki katika shindano la urembo la Dunia (Miss World 2011 ) katika moja ya tafrija zinazoendelea kufanyika jijini London,Uingereza.Fainali za Shindalo hilo zinatarajiwa kufanyika Novemba 6,2011 jijini London.
Miss Tanzania akiwa na warembo wenzie nchini uingereza


Vodacom Miss Tanzania 2011,Salha Israel (wa tano kutoka kushoto) akiwa na warembo wenzake wanaoshiriki katika shindano la urembo la Dunia (Miss World 2011 ) katika moja ya tafrija zinazoendelea kufanyika jijini London,Uingereza.Fainali za Shindalo hilo zinatarajiwa kufanyika Novemba 6,2011 jijini London.

Kim Kardashian Divorce Kris after 72 days
'I listened to my intuition': Kim Kardashian remains cryptic when pressed on WHY she dumped Kris in first TV interview since split
By Zicco FrankKim Kardashian has her filter turned on - and still isn't letting much slip about her ill-fated marriage to Kris Humphries.
During her first television interview since announcing her split on Monday after only 72 days of marriage, Kim would only give 'intuition' as the reason why she broke things off with her 26-year-old husband, Kris Humphries.
Asked by Sunrise breakfast hosts David Koch and Melissa Doyle on Thursday morning whether she fought to save the marriage, Kim responded: 'I think when you know so deep in your heart that you just to listen to your intuition and follow your heart, there's no right or wrong thing to do.'
Business as usual: Kim Kardashian appeared her her first
television interview in Australia on Thursday morning alongside sister Khloe to
promote her new handbag range and briefly mention her failed marriage
Protective: The sisters spoke to hosts David Koch and
Melissa Doyle, but Kim refused to go into detail about why she dumped Kris
Humphries after just 72 days of marriage, only saying she 'listened to her
intuition'
When pressed on whether she had considered counselling, Kim clammed up: 'I'm not ready to get into it.'
Kim had more to say on the business front, and happily plugged her new handbag launch as she was interviewed alongside protective sister Khloe.
Asked how she was coping, Kim said: 'I really wanted to stick with my commitment to come out to Australia. I love the fan base here.
'I did want some time to myself but I don't want to bale on everyone and skip out on this commitment here.

Read more: http://www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/article-2056932/Kim-Kardashian-divorce-I-dumped-Kris-Humphries-intuition.html#ixzz1cuMCiwFk
Wanafunzi wakitanzania waliohitimu stashahada yao nchini India University of Mysore
Wanafunzi wakiwa na furaha ya mafanikio yao baada ya miaka 3 ya ughaibuni!
Tafrija hiyo ilifanyikia katika ukumbi wenye manhari nzuri wa silent shore Mysore huko India.
Mmoja wa wanafunzi waliohitimu akiwa na nyuso ya furaha huyo ni bwana David Mziray aliyehitimu Bachelor of Science in Computer Science,Mathematics and Electronics!
Na huyu hapa chini ni bi Joyce Magoba aliyehitimu Bachelor of Commerce (BCom) katika chuo hicho akiwa na furaha
Tafrija hiyo ilifanyikia katika ukumbi wenye manhari nzuri wa silent shore Mysore huko India.
Mmoja wa wanafunzi waliohitimu akiwa na nyuso ya furaha huyo ni bwana David Mziray aliyehitimu Bachelor of Science in Computer Science,Mathematics and Electronics!
Na huyu hapa chini ni bi Joyce Magoba aliyehitimu Bachelor of Commerce (BCom) katika chuo hicho akiwa na furaha
Saturday, November 5, 2011
Miss World 2011
By Zicco Frank
November 4, 2011, 3:46pm

Model and business management graduate Gwendoline Ruais' motto is ‘Never give up on your dreams’ (Photo from Gwendoline’s official Facebook fanpage)
Since 2003, Miss World pageant has been featuring fast track events during the preliminary round of the competition, which give a bit of a boost to some of the contestants when the semi-finalists are chosen on coronation night.
In these fast track events, 20 contestants are chosen per category and, as “Unang Hirit” reported on Nov. 4, Ruais made it into three the Top 20 of following categories: Beach Beauty (2003–present), Beauty With A Purpose (2005–present), and Top Model (2004, but not held in 2005-2006).
The Beach Beauty category is a swimsuit competition and the Top Model is, of course, a modeling tilt, while the Beauty With A Purpose (formerly known as Miss World Scholarship) awards the contestant with the most relevant and important charity project in her nation.
While other fast track categories have been introduced since, namely the People's Choice (2003), Personality (2003) and Contestant's Choice (2004), the only other categories still being competed for this year are Miss Talent (2003–present), Miss Sports (2003–present).
Joining Ruais on the Top 20 Beach Beauty qualifiers are Miss Bolivia Yohanna Guzman, Miss Brazil Juceila Bueno, Miss England Alize Mounter, Miss Italy Tania Bambaci, Miss Korea Kyung Doe, Miss Kazakhstan Zhanna Zhumaliyeva, Miss Martinique Axelle Perrier, Miss New Zealand Mainete Broekman, Miss Paraguay Nicole Vera, Miss Northern Ireland Finola Ginname.
The others who made it into the Beach Beauty category were Miss Puerto Rico Amanda Perez, Miss Russia Natalia Nantigurova, Miss Serbia Milica Tepavac, Miss Spain Carla Garcia Barber, Miss St. Barthelemy Johanna Sansano, Miss Sweden Nicoline Artursso, Miss Ukraine Iaroslava Kuriacha, Miss Venezuela Ivian Sarcos, and Miss Zimbabwe Malaika Mshandu.
While Ruais got into three fast track categories, other Miss World contestants with Filipino blood sadly didn’t fare as well in the Beach Beauty class. They were former “Pinoy Big Brother Celebrity 2” edition contestant Riza Santos for Canada and Maya Celeste Olesen for Denmark.
Should Ruais be fortunate enough to bag the crown, she will be the first Filipina to hold the title in the pageant’s 60 year history.
The Miss World 2011 coronation night will be held Nov. 6 (UK time) in Earls Court, London.
Wednesday, November 2, 2011
Subscribe to:
Comments (Atom)










